Siku ya Wanawake Duniani
Siku ya Wanawake Duniani
Siku ya Wanawake Duniani huadhimishwa tarehe 8 Machi ya kila mwaka. Siku hiyo ilianza kuadhimishwa tarehe 8 Machi 1975 baada ya Umoja wa Mataifa kuridhia siku hii kutumika kama siku rasmi ya kuikumbusha dunia juu ya haki za wanawake.
Siku hii pia huongeza chachu katika harakati za mapambano katika usawa wa kijinsia kwa wanawake na wanaume katika jamii. Aidha maadhimisho ya siku hiyo kwa mwaka huu yamebeba ujumbe wa usawa kwa watu wote.
Event details
-
Date
08-Mar, 2025 08:30 AM
08-Mar, 2025 03:30 PM -
Duration
7 Hrs -
Location
Uwanja wa mpira wa Ilulu, Manispaa ya Lindi